1. Home
  2. Lyrics
  3. Israel Mbonyi – Heri Taifa (Lyrics)
Israel Mbonyi – Heri Taifa (Lyrics)

Israel Mbonyi – Heri Taifa (Lyrics)

2
0
Partager

Israel Mbonyi – Heri Taifa (Lyrics)
Verse :
Nikasikia sauti nyikani
Tengenezeni njiya yake,
nyosheni mapito yake

Sogeleeni kiti cha neema
Mpate utakaso
Oh what a blessing
Oh what a grace

Heri aoshae (afuae),
Kanzu yake ndani ya damu
Akiliamini neno alilo ambiwa nae
Atakua kama Mti kando ya maji
Majani yake huyo,
Yatakua ma bichi daima.

Chorus :
Heri walio na hilo agano
Wanaye Mungu Kama mwokozi wao
Watasitawi nyumbani mwake
Hao wataitwa wana wa upendo.
Tutasitawi nyumbani mwake
Sisi, tutaitwa wana waupendo

Verse :
moyo wangu, Sifu mungu
sifu mungu sifu mungu

Nuru ilikuangaziya We Uliye mpole,
Utairithi inchi, Utafarijiwa
Nuru ilikuangaziya mwenye moyo safi Utabarikiwa, Utamuona mungu

Bridge :
Heri taifa ambalo Bwana ni mungu wao,
Ni wana wa upendo
Aliyo wachagulia, kuwa urithi wake.

Chorus :
Heri walio na hilo agano
Wanaye Mungu Kama mwokozi wao
Watasitawi nyumbani mwake
Hao wataitwa wana wa upendo.
Tutasitawi nyumbani mwake
Sisi, tutaitwa wana waupendo

Visites : 2 Aujourd’hui | 2 Totales

Partager

LEAVE YOUR COMMENT

Votre adresse e-mail ne sera pas publiée. Les champs obligatoires sont indiqués avec *

Prouvez votre humanité: 10   +   1   =  

error: Droits d'auteur !!!