1. Home
  2. Lyrics
  3. Mbosso – Merijaah (Lyrics)
Mbosso – Merijaah (Lyrics)

Mbosso – Merijaah (Lyrics)

7
0
Partager

Mbosso – Merijaah
Jirani yangu, jirani yangu tumezoeana
Mlango wake, mlango wangu vinatazamana
Sukari kwake, chumvi kwangu tukaazimana
Akawa bf wangu, udugu wangu tukashibana
Mwisho tukapendana

Ooh meri merijaah
Kama ingekuwa ndoo ya maji ingejaa
Na kama ingekuwa nguo mwilini ningevaa
Oooh meri meri
Ooh meri merijaah

Kama ingekuwa ndoo ya maji ingejaa
Na kama ingekuwa nguo mwilini ningevaa
Oooh meri meri
Ooh meri merijaah

(Oooh meri meri
Ooh meri merijaah
Oooh meri meri
Ooh meri merijaah)

Mwambani mwambani eeeeh
Mwambani msuli na khanga
Wazania wazania eeheeeeehh
Waambie ndo tunayaanza
Ooooooooh

Ooh meri merijaah
Kama ingekuwa ndo ya maji ingejaa
Na kama ingekuwa nguo mwilini ningevaa
Oooh meri meri
Ooh meri merijaah

Kama ingekuwa ndo ya maji ingejaa
Na kama ingekuwa nguo mwilini ningevaa
Oooh meri meri
Ooh meri merijaah

(Oooh meri meri
Ooh meri merijaah)

[Mbosso – Merijaah]

Visites : 1 Aujourd’hui | 7 Totales

Partager

LEAVE YOUR COMMENT

Votre adresse e-mail ne sera pas publiée. Les champs obligatoires sont indiqués avec *

Prouvez votre humanité: 6   +   9   =  

error: Droits d'auteur !!!