1. Home
  2. Lyrics
  3. Israel Mbonyi – Uwe Hai (Lyrics)
Israel Mbonyi – Uwe Hai (Lyrics)

Israel Mbonyi – Uwe Hai (Lyrics)

2
0
Partager

Israel Mbonyi – Uwe Hai (Lyrics)
Verse
Mbali ninayatupa hayo yote yakushirakiyo
Maana Mii Ni Mwenyezi Mungu, Usinzie nakufunika
Tena Mimi Niko Naweza kukutunza
kwa Neno la Kinywani mwangu

Na utayalalia haya Maneno
Kisha na mkono wangu
utakandamiza malengo ya wabaya
Maana Mimi Niko
Nitakulinda kwa gongo la Upendo wangu
Uwe hai, natamka, uwe hai.

Chorus :
Uwe hai, eweee Uwe hai
Uwe hai, eweee Uwe hai
Wee mifupa ilio kauka , Ewe uwe hai
Wee mifupa mikavu ewe uwe hai
Akanitazama kwa utele wa upendo wake,
Eti uwe hai
Akanitazama, kwa utele wa Rehema Zake,
Eti uwe hai.

Bridge :
Uko na alama ya damu yake mpenzi
We ni wangu mi wako ooh
Hayo ninayasema.

Chorus :
Uwe hai, eweee Uwe hai
Uwe hai, eweee Uwe hai
Wee mifupa ilio kauka , Ewe uwe hai
Wee mifupa mikavu ewe uwe hai
Akanitazama kwa utele wa upendo wake,
Eti uwe hai
Akanitazama, kwa utele wa Rehema Zake,
Eti uwe hai.

Visites : 2 Aujourd’hui | 2 Totales

Partager

LEAVE YOUR COMMENT

Votre adresse e-mail ne sera pas publiée. Les champs obligatoires sont indiqués avec *

Prouvez votre humanité: 10   +   3   =  

error: Droits d'auteur !!!